iqna

IQNA

aisha sururu
Mashindano ya Qur'ani
IQNA-Rais Samia Suluhu Hassan wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa zawadi ya Sh milioni 10 kwa washindi wa kitaifa wa mashindano ya kuhifadhi Quran, akiongezea katika zawadi zilizotolewa na wadau wengine ikiwemo nyumba kwa walioshika nafasi za juu katika mashindano hayo.
Habari ID: 3478534    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/03/18

TEHRAN (IQNA)- Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar bin Zuber, amesema kitabu cha Qur'ani Tukufu ndio kitabu pekee duniani chenye kuhifadhika tofauti na vitabu vingine vyote.
Habari ID: 3475145    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/19

TEHRAN (IQNA) - Kina mama wa Kiislamu wametakiwa kuongeza juhudi katika kutimiza jukumu la kuandaa watoto wao kutokana na kukithiri kwa mmomonyoko wa maadili, kwani watoto wema na bora wanaanza na wazazi bora hasa kina mama.
Habari ID: 3474459    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/23